Posts

Showing posts from December, 2017

Guardiola: Manchester City hawatamaliza ligi bila kushindwa

http://ift.tt/eA8V8J Meneja wa Manchester City Pep Guardiola amesema anaamini kuwa kikosi chake hakitamaliza Ligi bila kushindwa baada ya ushindi wao wa 18 mfululizo kufika kikomo

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Image
http://ift.tt/2lA5B0H          

Ashley Young ashtakiwa kwa udhofu wa nidhamu

http://ift.tt/eA8V8J Young alionekana kumgonga kwa mkono mshambuliaji wa Southampton, Dusan Tadic wakati wa mechi iliyotoka sare ya sufuri siku ya Jumamosi.

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 31.12.2017

http://ift.tt/eA8V8J West Ham, wana mpango wa kumsaini kiungo wa kati wa zamani wa Chelsea Andre Schurrle, 27, kutoka Borussia Dortmund

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Image
http://ift.tt/2DDfxxP                  

Mourinho ashangazwa na Klopp kwa kununua mchezaji kwa dau la £75m

http://ift.tt/eA8V8J Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho amehoji madai ya mkufunzi wa Liverpool Jurgen Klopp's ya mwaka 2016 kwamba yuko tayari kuwacha kazi yake badala ya kutumia fedha nyingi kununua wachezaji

Mourinho: Lukaku amechoka lakini siwezi kumpumzisha

http://ift.tt/eA8V8J Mkufunzi wa manchester United Jose Mourinho amekiri kwamba mshambuliaji Romelu Lukaku amechoka lakini ng'o hawezi kumpumzisha

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 30.12.2007

http://ift.tt/eA8V8J Cristiano Ronaldo ameitaka klabu ya Real Madrid kuweka bei yao ya kumuuza isiopungua £89m

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Image
http://ift.tt/2zP4Gi9          

YANGA YAWASILI MWANZA KUIKABILI MBAO FC

Image
http://ift.tt/2DwdlZh Kikosi cha Yanga kimetua salama Mjini Mwanza tayari kwa pambano lake la Jumapili dhidi ya wenyeji Mbao FC, pambano la Ligi Kuu ambalo limepangwa kupigwa uwanja wa CCM Kirumba. Kocha msaidizi wa timu hiyo Shadrack Nsajigwa amesema, timu imewasili salama na leo wanatarajia kufanya mazoezi kwenye uwanja wa Kirumba, pamoja na kesho kabla ya kujiandaa na mchezo huo ambao wameupa umuhimu mkubwa. Nashukuru tumewasili salama Mwanza, hali ya hewa ni nzuri na kufika mapema siku mbili kabla ya mchezo kutatusaidia kufanya vizuri kwenye mchezo wetu wa keshokutwa kwasababu tumedhamiria kushinda mchezo huo ukizingatia Mbao ni timu nzuri na imeuwa ikitusumbua sana,” amesema Nsajigwa. Kocha huyo amesema ukitoa wachezaji Ibrahim Ajibu na Obrey Chirwa wachezaji wote waliobaki na kusafiri na timu hiyo niwazima na wapo katika ari kubwa ya kuhakikisha wanacheza na kuhakikisha wanapata pointi tatu.   Yanga inashika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, ikiwa na

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 29.12.2017

http://ift.tt/eA8V8J Southampton inataka kumsajili mshambuliaji wa Liverpool na Uingereza Daniel Sturridge, 28, kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu. (Telegraph)

Wenger asema haogopi kumpoteza Alexis Sanchez Januari

http://ift.tt/eA8V8J Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amesema kuwa haogopi kumpoteza Alexis Sanchez mnamo mwezi Januari licha ya mshambuliaji huyo kuifungia Arsenal mabao mawili dhidi ya Crystal Palace

Swansea yamuajiri Carlos Carvalhal kuwa mkufunzi wake

http://ift.tt/eA8V8J Swansea City wamemteua aliyekuwa mkufunzi wa klabu ya Sheffield Wednesday Carlos Carvalhal kuwa mkufunzi mpya

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 28.12.2007

http://ift.tt/eA8V8J Manchester United haitashindana na Barcelona katika kutaka kumsajili mshambuliaji wa Atletico Madrid mwenye umri wa miaka 26 Antoine Griezmann. (Marca)

Tetesi za uhamisho: Ni mchezaji gani anayetarajiwa kuhamia klabu mpya mwezi Januari?

http://ift.tt/eA8V8J Ni nani ambaye yuko njiani kuhamia klabu mpya mwezi Januari- Jihabarishe kuhusu wachezaji watakaohama

Audio: Orbit - Buku Kuwa Laki (1000 - 100000) | MP3 Download

Image
The Makaveli Trap song rapper, returns again with a new jam. "Buku kuwa laki" here he speaks about the hustle and life after him being under the spot light, the obstacles, and challenges he faces. This is considered as an extension of his previous releases. Hope you will enjoy and help share this vibrant, emotional, aggresive great work from the new kid on the block. Thank you! DOWNLOAD: ORBIT - BUKU KUWA LAKI | MP3 DOWNLOAD

Virgil van Dijk kujiunga na liverpool kwa pauni milioni 75

http://ift.tt/eA8V8J Beki wa kati wa Southampton Virgil van Dijk atajiunga na Liverpool wakati wa dirisha la uhamisho tarehe moja mwezi Januari kwa mkataba wa rekodi ya kimataifa ya £75m.

Conte asema Chelsea haina bahati msimu huu

http://ift.tt/eA8V8J Mkufunzi wa Chelsea Antonio Conte ametaja ukosefu wa bahati katika kikosi chake kama sababu ya wao kuwa pointi 13 nyuma ya viongozi wa ligi Manchester City

Mourinho: £300m nilizopewa kununua wachezaji hazitoshi

http://ift.tt/eA8V8J Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anasema kuwa dau la £300m alilotumia kuimarisha kikosi chake halitoshi baada ya timu yake kutoka sare ya 2-2 na klabu ya Burnley siku ya Jumanne

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 27.12.2017

http://ift.tt/eA8V8J Kiungo wa kati wa Arsenal Mesut Ozil, 29, yuko namba moja katika orodha ya Barcelona lakini mabingwa hao wa La Liga wanataka kuwasaini wachezaji watano mwezi Junuari

Man United yalazimika kupigania sare dhidi ya Burnley

http://ift.tt/eA8V8J Manchester United imelazimika kupigania sare ya 2-2 dhidi ya Burnley baada ya kutoka nyuma nyumbani.

Harry Kane aweka rekodi ya mabao mengi kwa mwaka EPL

http://ift.tt/eA8V8J Harry Kane amefunga hat-trick na hivyobasi kuweka rekodi mpya ya mabao mengi yaliofungwa kwa mwaka huku Tottenham ikiicharaza Southampton katika uwanja wa Wembley

Tetesi za soka Ulaya 26.12.2017

http://ift.tt/eA8V8J Manchester City inakaribia kumsajili kwa dau la £60m beki wa Southampton Virgil van Dijk, 26. (Telegraph)

Ballon d'Or: Nani atakayeshinda tuzo hiyo baada ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi?

http://ift.tt/eA8V8J Wataalam wa soka wa BBC wanachanganua wachezaji watakaowarithi Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kama wachezaji bora duniani

Serena Williams kurudi uwanjani miezi minne baada ya kujifungua

http://ift.tt/eA8V8J Nyota wa tenisi Serena Williams atarejea uwanjani huko Abu Dhabi wiki ijayo miezi minne baada ya kujifungua.

Mshambuliaji wa Southampton Charlie Austin apigwa marufuku ya mechi tatu

http://ift.tt/eA8V8J Mshambuljia wa Southmpton Charlie Austin amepigwa marufuku ya mechi tatu na shirika la kandanda la FA kwa kucheza vibaya

Tetesi za Soka Ulaya Jumapili 24.12.2017

http://ift.tt/eA8V8J Meneja wa Tottenham Mauricio Pochettino anasema yuko tayari kutoa afa mara mbili kwa mchezaji wa kiungo cha kati wa Everton Ross Barkley, 24, na mlinzi wa Manchester United Luke Shaw

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Image
http://ift.tt/2pnZoKr              

El Clasico: Real Madrid 0-3 Barcelona

http://ift.tt/eA8V8J Barcelona ilionyesha mchezo mzuri ugenini na kupata ushindi dhidi ya Real Madrid ambayo imeondolewa katika kuwania taji la ligi ya Uhispania

Barcelona kutoana jasho na Real Madrid katika 'El Clasico'

http://ift.tt/eA8V8J Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo na winga Gareth Bale wote wako asilimia 100 tayari kucheza katika mechi kali zaidi duniani ya ''El Clasico'' dhidi ya Barcelona

Arsenal yatoka sare ya 3-3 na Liverpool EPL

http://ift.tt/eA8V8J Mshambulio kali la Roberto Firmino liliisaidia Liverpool kutoka nyuma na kupata sare katika mechi ya ligi ya Uingereza ambayo Arsenal ilifunga mabao matatu katika dakika tano za kipindi cha pili

Mkenya Victor Wanyama kurudi katika kikosi cha Tottenham

http://ift.tt/eA8V8J Kiungo wa kati wa Tottenham Victor Wanyama amerudi katika mazoezi kufuatia jeraha la goti na huenda akarudi katika kikosi cha Pochetino kulingana na meneja huyo

Tetesi za soka Ulaya Ijumaa 22.12.2017

http://ift.tt/eA8V8J Inter Milan wameonyesha nia ya kumsajili kiungo wa Manchester United Henrikh Mkhitaryan kwa mkopo mwezi Januari, lakini bado hawajaweka wazi kama watamnunua moja kwa moja nahodha huyo wa Armenia.(Gazzetta dello Sport, via Talksport)

Arsenal kulipiza kisasi dhidi ya Liverpool

http://ift.tt/eA8V8J Mshambuliaji wa Arsenal Olivier Giroud atakosa mechi ya Ijumaa pamoja na mechi kadhaa za wakati wa likizo kutokana na jeraha

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Image
http://ift.tt/2DrxsZ3          

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 21.12.2017

http://ift.tt/eA8V8J Swansea inajaribu kumrai mkufunzi wa zamani wa Man United Louis van Gaal kuwa meneja wake mpya baada ya kumfuta kazi Paul Clement. (Daily Mirror

''Wachezaji wa Bristol hawakujuwa wacheke au walie kwa kuilaza Man United ''

http://ift.tt/eA8V8J Wachezaji wa Bristol City hawakujua iwapo walifaa kucheka , kulia ama kukumbatiana baada ya kuilaza Manchester United katika robo fainali ya kombe la Carabao

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Image
http://ift.tt/2BUx8Ew      

Tomas Rosicky astaafu soka ya kulipwa

http://ift.tt/eA8V8J Mchezaji wa zamani wa Arsenal na taifa la Czech Tomas Rosicky amestaafu soka ya kulipwa

Zanzibar sasa yaomba kutambuliwa na Fifa

http://ift.tt/eA8V8J Wachezaji wa Zanzibar walilakiwa kwa shangwe na hoi hoi walipotua nyumbani kutoka Kenya baada ya kumaliza wa pili katika mashindano ya kandanda ya kombe la Cecafa Senior Challenge

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 20.12.2017

http://ift.tt/eA8V8J Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anapanga kutoa rekodi ya dau la Uingereza la £90m kumnunua mchezaji wa Chelsea na Ubelgiji ,26, Eden Hazard. (Sun)

Ian Wright asema kiwango cha Alexis Sanchez 'kimeshuka'

http://ift.tt/eA8V8J Mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez haonekani kuimarika na huenda kiwango chake cha mchezo 'kimeshuka', kulingana na mshambuliaji wa zamani wa Arsenal Ian Wright

Serena Williams aomba ushauri wa mwanawe anayeota meno

http://ift.tt/eA8V8J Bingwa wa mchezo wa tenisi duniani upande wa wanawake Serena Williams huenda anakabiliwa na changamoto kubwa baada ya kuwataka mashabiki wake katika mitandao ya kijamii kumshauri

Tetesi za Soka Ulaya Jumanne 19.12.2017

http://ift.tt/eA8V8J Arsenal wana mpango wa kumsaini mlinzi wa Chelsea David Luiz, 30. (Daily Express)

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Image
http://ift.tt/2kJOmtB      

Moyes :Naweza kufundisha timu yoyote duniani

http://ift.tt/eA8V8J Meneja wa West Ham United, David Moyes, amesema anaweza kufundisha timu yoyote dunia na anataka kuonyesha kama ana uwezo huo akiwa na klabu ya West Ham.

EPL: Klabu gani ina wakati mgumu zaidi msimu wa Krismasi?

http://ift.tt/eA8V8J Kila moja kati ya klabu zilizo kwenye Ligi Kuu itacheza mechi nne wakati wa sikukuu - mechi moja zaidi ya msimu uliopita.

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 18.12.2017

http://ift.tt/eA8V8J Manchester United wanatarajiwa kuwasilisha ofa ya £60m kutaka kumnunua beki wa Juventus Alex Sandro, 26, mwezi Januari.

Pep Guardiola kuzungumza na Manchester City kuhusu mkataba

http://ift.tt/eA8V8J Manchester City watafanya mazungumzo na meneja wao Pep Guardiola kuhusu mkataba mpya majira yajayo ya joto huku wakiendeleza lengo lao la kuunda himaya ya soka itakayotishia ile ya Manchester United.

Antoine Griezmann: Atletico Madrid aomba radhi baada ya kujifanya mweusi

http://ift.tt/eA8V8J Mshambuliaji nyota wa Atletico Madrid na Ufaransa Antoine Griezmann ameomba radhi baada yake kushutumiwa vikali kwa kujipaka rangi nyeusi kama sehemu ya utani wa kubadilisha sura.

MAGAZETI YA MICHEZO NA BURUDANI

Image
http://ift.tt/2zkbFma