Chelsea 'wanaelekea kucheza Europa League' baada ya sare na West Ham

https://ift.tt/eA8V8J Huku zikiwa zimesalia mechi sita, kihesabu Chelsea inaweza kufika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya, ingawa itabidi timu za Liverpool (ambao wamesalia na mechi tano) na Tottenham (ambao bado wana mechi sita za kucheza) ziporomoke.

Popular posts from this blog