ZLATAN APUNGUZA MSHAHARA 95% LA GALAXY

https://ift.tt/2IkeENf

MARA baada ya Zlatan Ibrahimovic kutangaza kusajiliwa na LA Galaxy ya Marekani, wengi wakawa wanajiuliza juu ya malipo ambayo atakuwa akilipwa, lakini imebainika kuwa ni pungufu ya yale aliyokuwa akilipwa alipokuwa Manchester United.
Zlatan alikuwa akilipwa euro 21.8m (Sh bilioni 60.5) kwa mwaka lakini sasa atalipwa euro 1.2m (Sh bilioni 3) ikiwa ni pungufu ya asilimia 95 ya kiwango cha mshahara aliokuwa akilipwa, hiyo inamaanisha kuwa atakuwa akilipwa pauni 16,000 (Sh milioni 44) kwa wiki.

Kutokana na kanuni za Marekani kuweka kiwango maalum kwa malipo ya mchezaji imelazimika Zlatan akubali kupokea mshahara mdogo lakini utakuwa na posho nyingi.

Popular posts from this blog