BRAZIL WAITANDIKA UJERUMANI BAO 0-1, MECHI ZA KIRAFIKI KUELEKEA KOMBE LA DUNIA

https://ift.tt/2IVp4DX


Gabriel Jesus akishangilia baada ya kufunga bao.

Wachezaji wa Brazil wakishangilia kwa pamoja.

TIMU ya Brazil usiku wa kuamkia leo wameshinda dhidi ya wenyeji wake Ujerumani waliokuwa nyumbani katika mechi ya kirafiki ya Kalenda ya Fifa bao 1-0. Gabriel Jesus ndiye aliyefunga bao hilo.

Inakuwa ni furaha kubwa kwa Brazil ambayo iliingia uwanjani na kumbukumbu ya kipigo cha mwisho cha mabao 7-1 dhidi ya Ujerumani mara ya mwisho katika Kombe la Dunia.

Germany (4-2-3-1): Trapp; Kimmich; Boateng (Sule 67); Rudiger; Plattenhardt; Gundogan (Werner 80); Kroos; Goretzka (Brandt 61); Draxler; Sane (Stindl 61); Gomez (Wagner 62)

Brazil (4-3-3): Alisson; Alves; Silva; Miranda; Marcelo; Fernandinho; Casemiro; Paulinho; Willian; Jesus; Coutinho (Costa 72)
Scorers: Jesus 37

MATOKEO MENGINE USIKU WA KUAMKIA LEO

Russia 1-3 France

Hungary 0-1 Scotland

Denmark 0-0 Chile

Poland 3-2 South Korea

Belgium 4-0 Saudi Arabia

Tunisia 1-0 Costa Rica

Switzerland 6-0 Panama

Germany 0-1 Brazil

Nigeria 0-2 Serbia

Spain 6-1 Argentina

Colombia 0-0 Australia

Popular posts from this blog