Wanariadha watano wa Urusi wafungiwa maisha

http://ift.tt/eA8V8J Wanariadha wengine watano wa Urusi wamefungiwa kushiriki michuano ya kimataifa ya Olimpiki kwa maisha yao yote baada ya kamati ya kimataifa ya Olimpiki kuwabaini kutumia dawa zilizokataliwa michezoni.

Popular posts from this blog