Messi atia saini kandarasi mpya na Barcelona hadi 2021

http://ift.tt/eA8V8J Tangu alipojiunga na Barcelona akiwa na umri wa miaka 13, Messi ameisaidia Barcelona kushinda mataji manane ya ligi ya Uhispania na kushinda kombe la vilabu bingwa mara nne

Popular posts from this blog